JOEL KAMINYOGE MWENYEKITI TUGHE TAIFA ZIARANI KILIMANJALO
Mwenyekiti TUGHE Taifa Joel Kaminyoge ametelea Mkoa wa Kilimanjaro.Kaminyoge aliweza kupita ofisini kwa RAS , DC wa Moshi, ofisi ya mganga mkuu hospitali ya Mkoa mawenzi na hospitali ya Rufaa KCMC!
Uongozi na wanachama wote aliweza kukutana na kuzungumza nao.
(Picha mbalimbali akiwa Mkoani KILIMANJALO)
Maoni