RC SONGWE AAGIZA WALIMU 11 KURUDISHWA ILEJE, ABAINI KUWEPO UHAMISHO HEWA


 Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ameitaja Wilaya ya Ileje kuwa ni kinara wa Uhamisho hewa kwa Walimu ambapo zaidi ya Waalimu 17 wamehamishwa pasipo kufuata taratibu hivyo ameagiza Waalimu 11 kurejeshwa Ileje. Ameyasema hayo  katika Kikao cha ushauri cha Mkoa wa Songwe(RCC) kilichofanyika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa leo (Alhamisi).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA