RC SONGWE AAGIZA WALIMU 11 KURUDISHWA ILEJE, ABAINI KUWEPO UHAMISHO HEWA
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ameitaja Wilaya ya Ileje kuwa ni kinara wa Uhamisho hewa kwa Walimu ambapo zaidi ya Waalimu 17 wamehamishwa pasipo kufuata taratibu hivyo ameagiza Waalimu 11 kurejeshwa Ileje. Ameyasema hayo katika Kikao cha ushauri cha Mkoa wa Songwe(RCC) kilichofanyika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa leo (Alhamisi).
Maoni