ALIDHANIWA KUFARI AFUFUKA AOMBA UJI..WANANCHI WATAWANYIKA


MKAZI wa Kijiji cha Msikisi wilayani Masasi, mkoani Mtwara, Ayuba Mawazo (26), aliyedaiwa kufariki dunia, na wananchi kufika nyumbani kwa shughuli za mazishi, amezinduka na kuomba apewe uji.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA