BREAKING NEWS BASI LA MANDA'S LAPATA AJALI SONGWE

Basi linalofanya safari zake Mbalizi(Mbeya)-Mkwajuni(Songwe) la Manda's Express limeangua njia panda ya Galula Wilayani Songwe.

RPC Jannet Magomi amethibitisha na taarifa kamili itatolewa baadae,taarifa ya Mwanzo mtu mmoja amekwisha fariki na uokoaji unaendelea.







Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA