MSIBA MKUBWA MKOANI SONGWE CHIFU WA MOMBA AFARIKI DUNIA


Mkoa wa Songwe umepata pigo kufuatia kifo cha Chifu wa Kabila la Wanyamwanga lilopo Wilayani Momba ajulikanae Kwa jina la Chifu Jubeck Mkoma maarufu kama CHIMPANSYA,Amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Rufaa Mbeya.

Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza pindi tunapozidi kuzipata.

HABARI JAMII TUNATOA POLE KWA WAKAZI WA MOMBA NA MKOA MZIMA WA SONGWE






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE