MWANAMUZIKI MAUNDA ZORRO AFARIKI DUNIA


 Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Maunda Zorro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kwa ajali ya gari mkoani Dar es Salaam. 


Familia ya mwanamuziki huyo imethibitisha kutokea kwa kifo hicho. 


Maunda kutoka katika familia ya waimbaji ya Mzee Zahir Zorro atakumbukwa kwa nyimbo mbalimbali za kusisisimua kama vile Nataka Niwe Wako na Mapenzi ni ya Wawili.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA