BREAKING NEWS: CHADEMA YAWAFUKUZA RASMI UANACHAMA KINA MDEE

 HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA

-

Baraza Kuu la CHADEMA usiku wa leo kuamkia Alhamisi (Mei 12, 2022) limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 za kupinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama

-

Baraza hilo limeunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama wa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila kupata baraka za chama


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA