NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dk Festo Dugange amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni kikubwa ambapo kwa Mkoa wa Kigoma ni asilimia 27.1, Katavi asilimia 32.2, Njombe asilimia 50.4, Songwe asilimia 31.9 na Rukwa asilimia 49.8. Amesema hayo katika hafla ya kusaini hati za makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa lishe unaofadhiliwa na Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID) iliyofanika leo Mei 07, 2024 katika Ukumbi wa Sokoine jijini Dodoma. Dk Dugange amesema viwango vya matatizo ya lishe nchini vimeendelea kupungua mwaka hadi mwaka ambapo kwa mwaka 2022 kiwango cha udumavu nchini ni asilimia 30 ikilinganishwa na asilimali 34 mwaka 2015. Aidha, naibu waziri huyo amesema tunapaswa kuendelea kuhamasisha ulaji wa chakula mchanganyiko chenye virutubisho na kuzingatia mtindo bora wa maisha. “tuweke kipaumbele katika kuimarisha usafi wa mazin...
The government has officially announced the commencement of the construction of the Isongole II – Ibungu – Isoko asphalt road, covering a distance of 52.419 kilometers, with the project contractor, China Road and Bridge Corporation (CRBC), introduced to the public. Speaking today, March 7, 2025, to the residents of Isongole Ward in Ileje District, the Deputy Minister of Works, Engineer Godfrey Kasekenya, stated that President Samia Suluhu Hassan’s government has approved and allocated funds for the construction, despite misleading claims from some individuals who alleged that the project would not be implemented. He added that the government has already disbursed TZS 7.2 billion as an initial payment to the contractor, while the total cost of the project exceeds TZS 75 billion. Deputy Minister Kasekenya, who is also the Member of Parliament for Ileje, emphasized that infrastructure improvement, particularly roads, is a major catalyst for development, especially for the youth. ...
MBUNGE wa Jimbo la Momba Mkoani Songwe Mhe. Condester Sichalwe (Mundy) ametenga kiasi cha shilingi milioni 28 kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa ofisi za CCM kwenye kata zote 14 za jimbo hilo. Akizungumza kwa nyakati tofauti kwenye vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM kata za Nkangamo na Msangano, Mbunge Sichalwe amesema lengo la kutoa fedha hizo ni kuunga mkono shughuli za maendeleo za kujenga chama hicho. Akiwa mgeni mualikwa kwenye kikao hicho katibu wa CCM wilaya ya Momba Kataba Sukuru, amempongeza na kumshuru Mbunge Condester Schalwe kwa kutoa fedha hizo kwa madai kuwa anajenga chama kwa vitendo. “Tukushuru sana Mheshimiwa Mbunge jambo hili unalofanya nikubwa sana, kutoa milioni mbili kila kata si jambo dogo, inaonyesha ni jinsi gani unavyokipenda chama chetu, hakika wewe ni Mbunge wa mfano sana” Kataba. Kupitia mpango huo tayari Mbunge ametoa milioni Nne kwa kata mbili za Nkangano na Msangano, huku akiendelea na kata zingine, lengo ni kuona kata zote zinafikiwa na fedha hizo.
Comments