MBOZI KUJENGA KITUO CHA AFYA MILIONI 500 KWA MAPATO YA NDANI,MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI


Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika Kituo cha Afya Halungu ambacho kinajengwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa kushirikiana na wananchi wa Kata ya Halungu.


Kituo hicho ambacho Kukamilika kwake kitagharimu fedha milioni 500 lakini hadi sasa Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani wametumia milioni 367,660,000 kati ya izo nguvu za wananchi ni milioni 17,660,000.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA