AL- HILAL YAZIDI KUWATISHA YANGA YAICHAPA TIMU 4-0

 KLABU ya Al Hilal wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani wameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Wad Nobawi katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Sudan.

 

Mchezo unaofata Al Hilal SC watakuwa tena nyumbani kuvaana na Yanga SC katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika utakaopigwa siku ya Jumapili, Oktoba 16, 2022.

Kikosi cha Yanga

Utakumbuka katika mechi ya kwanza iliyochezwa Oktoba 8 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, timu hizo zilitoka sare ya kufungana 1-1

Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14