AL- HILAL YAZIDI KUWATISHA YANGA YAICHAPA TIMU 4-0

 KLABU ya Al Hilal wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani wameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Wad Nobawi katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Sudan.

 

Mchezo unaofata Al Hilal SC watakuwa tena nyumbani kuvaana na Yanga SC katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika utakaopigwa siku ya Jumapili, Oktoba 16, 2022.

Kikosi cha Yanga

Utakumbuka katika mechi ya kwanza iliyochezwa Oktoba 8 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, timu hizo zilitoka sare ya kufungana 1-1

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE