BREKING NEWS: RADWELL MWAMPASHI ASHINDA UENYEKITI MKOA WA SONGWE


 Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti Mkoa wa Songwe umefanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Morovian na haya ndio matokeo yake

Radwell Mwampashi- 415

 Kisa Kibona-104

Isabela  Mbaya- 27



Matokeo ya Uchaguzi nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu Taifa Mkoa wa Songwe


Aden Mwankyonde-328

Ombeni Nanyalo- 211


 
Uchaguzi huo ambao ulirudiwa kwa mara ya pili baada ya matokeo ya mwanzo Kushindwa kupatikana mshindi 

Na matokeo ya awali yalikuwa ifuatavyo

Awamu ya kwanza

Aden 274

Nanyalo 154

Nsonjo 122

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE