BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MLOWO ADAIWA KUJINYONGA MBOZI

 


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ( CCM) Kata ya Mlowo iliopo Wilayani Mbozi Mkoani Songwe Meshack Mwambogolo amekutwa amejinyonga usiku wa kuamikia leo kwa Wazazi wake Kijiji cha Masoko kilichopo Kata ya Mlangali kwa wazazi mujibu wa mashuhuda wa tukio.

Taarifa zaidi za msiba tutaendelea kuwajuza. 


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA