BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MLOWO ADAIWA KUJINYONGA MBOZI

 


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ( CCM) Kata ya Mlowo iliopo Wilayani Mbozi Mkoani Songwe Meshack Mwambogolo amekutwa amejinyonga usiku wa kuamikia leo kwa Wazazi wake Kijiji cha Masoko kilichopo Kata ya Mlangali kwa wazazi mujibu wa mashuhuda wa tukio.

Taarifa zaidi za msiba tutaendelea kuwajuza. 


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA