KLABU YA JOGGING MKOA WA SONGWE YAPATA UONGOZI
Klabu ya joggingi Mkoa wa Songwe imefanikiwa kupata Viongozi wa muda watakao iongoza kupata usajili ya jogging hiyo.
Afisa habari wa Klabu hiyo Rahimu Mohamed amesema Klabu ya jogging imefanikiwa kupata Viongozi wa ngazi mbalimbali
"Lengo letu ni kuwa na klabu kubwa Nyanda za juu kusini hivyo tumeanza kujipanga kujiendesha wenyewe kwanza kabla ya kupata ufadhili na tumefanikiwa kupata Uongozi wa muda utakao tuvusha katika usajili na mambo mengine yajayo"amesema Rahimu
Viongozi hao ni kama ifuatavyao
Mwenyekiti
Elautery Mremi
Makamu Mwenyekiti
Mnas Chande
Katibu
Charles mwamlima
Msaidizi katibu
Sophia Mwampamba
MHASIBU
Sesilia Mwalim Benedict
Msaidizi
Pius Mbeya
WAALIMU
FEADA HAONGA
Na
Hassan Kisambu
HABARI/HAMASA
RAHIM NZUNDA na
RAMADHANI MPONDA
URATIBU
ENG SULEIMAN BISHANGA
WALEZI
NMB, na POLISI
MSIMAMIZI MKUU/MSHAURI
OFISI YA KATIBU TAWALA MKOA WA SONGWE

Maoni