BREAKING NEWS. CHIFU NZUNDA AFARIKI DUNIA



Chifu wa Kimila wa kabila la Wanyiha ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Songwe na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Songwe Chief Muleshwelwa Nzunda amefariki Dunia siku katika hospital ya Mkoa wa Songwe alipokuwa akipatiwa matibabu.

Taarifa hii imethibitishwa na ndugu wa marehemu Chifu Nzunda na taarifa kamili itatolewa baadae

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA