FREAKING NEWS: BASI LA SHABIBY LAPINDUKA WATU KADHAA WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA


 Basi la kampuni ya Shabiby lenye usajili wa namba 341EEU limepata pata ajali asubuhi hii ya tarehe 25 Mei 2024 katika eneo la Kihonda Manispaa ya Morogoro barabara ya Morogoro Dodoma ambapo watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa.


Bado chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana habari Jamii tupo eneo la tukio muda huu huku tukiendelea kuwasiliana na kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro kwa taarifa zaidi.


Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14