MACHINGA WAKARIBISHA OFISI KWA CHONGOLO

 


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amemtaka Mwenyekiti wa machinga Mkoa wa Songwe kufika ofisini kwake ili wajadiliane changamoto za machinga  wa mkoani Songwe.


Chongolo aliyasema hayo wakati wa kikao cha baraza la wafanyabiashara Mkoa wa Songwe kilichofanyika ofisini katika ukumbi wa ofisi zake Wilayani Mbozi.


Kwa upande wa mwenyekiti wa machinga nkoa wa songwe Calvin Kyando  ameshukuru Mkuu wa Mkoa wa Songwe kwa kuwa kuwaita ofisi kwake na kutaka kusikiliza kero zao.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA