MBOZI WATEKELEZA AGIZO LA CHONGOLO KWA HARAKA STENDI YA MLOWO
Halmashauri ya Mbozi imetekeleza kwa vitendo na haraka agizo la Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo alilowataka kuhakikisha stendi hiyo inaanza kufanya kazi na kurekebisha miundo mbinu ya stendi hiyo ili wasafiri na wafanyabiashara waweze kurejea ndani na marekebisho hayo yanaendelea kwa kasi kama ambavyo picha zinavyoonyesha





Maoni