MBOZI WATEKELEZA AGIZO LA CHONGOLO KWA HARAKA STENDI YA MLOWO


 
Halmashauri ya Mbozi imetekeleza kwa vitendo na haraka agizo la Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo alilowataka kuhakikisha stendi hiyo inaanza kufanya kazi na kurekebisha miundo mbinu ya stendi hiyo ili wasafiri na wafanyabiashara waweze kurejea ndani na marekebisho hayo yanaendelea kwa kasi kama ambavyo picha zinavyoonyesha







Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA