RPC GEITA AONGOZA KUAGA MWILI WA ASKARI KALONGE KUZIKWA SONGWE


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Safia Jongo amewaongoza Maafisa, Wakaguzi, Askari na waombolezaji kumuaga aliyekuwa Koplo wa Polisi (CPL) Frank Abraham Kalonge aliyefariki dunia Agosti 16, 2024 Katika Hospitali ya SDA Kasamwa - Geita na kuagwa Agosti 17, 2024 katika kambi ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoani Geita








Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON

MOMBA HAWANA JAMBO DOGO: ROUTE VIONGOZI NA WANANCHI WAKUTANA PAMOJA ROUTER MATCH YANOGA