MAMA JANETH MAGUFULI AWASILI MBOZI KUHANI MSIBA WA NDUGU YAKE



Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda amefika kumpokea Mama Janeth Magufuli ambaye amekuja Mkoani Songwe kwa ajili ya kuhani Msiba wa ndugu yake tarehe 18 Septemba, 2024 Katika Mji wa Mlowo wilayani Mbozi Mkoani Songwe






Comments

Popular posts from this blog

KUMBUKUMBU YA MAISHA YA MH. ESTER ALEXANDER MAHAWE

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

TABIA ZINAZOWEZA KUKUFANYA USIKUBALIKE KWA JAMII