MAMBO NI MOTO UVCCM MBOZI KIJANA NELSON ACHUKUA FOMU YA UENYEKITI


Mchuano mkali wa kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM) unazidi kupamba moto Wilayani Mbozi ambapo Kada maarufu wa CCM Wilayani humo Nelson Mwakyusa amechukua fomu ya kuwania Uenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbozi mapema na habari tulizozipata pia amerejesha fomu hiyo baada ya kukamilisha taratibu za kuijaza

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE