ZUHURA YUNUS AOLEWA

 


Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Bi. Zuhura Yunus ameolewa na Fumbuka Nkwabi Mwanakilala katika ndoa iliyofungwa siku ya Alhamisi ya Desemba 29, 2022 ikiwa ni siku chache kabla ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.

Wawili hao wamefunga ndoa katika msikiti wa Maamur, Upanga Jijini Dar es Salaam.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE