ZUHURA YUNUS AOLEWA

 


Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Bi. Zuhura Yunus ameolewa na Fumbuka Nkwabi Mwanakilala katika ndoa iliyofungwa siku ya Alhamisi ya Desemba 29, 2022 ikiwa ni siku chache kabla ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.

Wawili hao wamefunga ndoa katika msikiti wa Maamur, Upanga Jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14