POLISI WAONYESHA UKAKAMAVU MITAANI SIMIYU



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu Kamishna Msaidizi wa Polisi Edith Swebe ameongoza Maofisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali katika mazoezi ya utayari 


Kamanda Swebe amesema mazoezi hayo yamelenga  kuonesha utayari wa askari Polisi katika  kukabiliana  na matishio ya uhalifu na wahalifu lakini zaidi kuimarisha na kudumisha amani na utulivu ndani ya Mkoa wa Simiyu ili wakazi wa Mkoa huo waendelee kufanya shughuli zao za kiuchumi na kujiletea maendeleo





Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14