TANESCO SONGWE YATOA RATIBA YA MAENEO YATAKAYO KOSA UMEME

Tanesco Mkoa wa Songwe kupitia kitengo cha Uhusiano na Huduma kwa wateja kimetoa ratiba ya wiki ya maeneo yatakayopata umeme kwa mgao kutokana na kupungua kwa kina cha maji kutokana na hali ya ukame pamoja na ongezeko la wateja waliounganishiwa Nishati hiyo ya umeme
 



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA