ZANZIBAR YA PIGA MARUFUKU MASAI KUTEMBEA NA SILAHA


 Serikali ya Zanzibar imepiga marufuku wamasi kutembea na silaha za jadi mitaani kwa kile ilchosema kuwa ni kuhatarisha maisha ya watu na ni kinyume cha utamaduni visiwani humo.


Katazo hilo limekuja baada ya video iliyosambaa mtandaoni ikiwaonesha wananchi wa jamii ya Kimasai wakimshambulia mfanyakazi wa halmashauri kwa silaha za jadi walipokuwa wakiendesha operesheni ya kusimamia sheria ndogo ndogo zinazozuia kufanya biashara maeneo ya barabara ya Mji Mkongwe.

Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14