ZANZIBAR YA PIGA MARUFUKU MASAI KUTEMBEA NA SILAHA


 Serikali ya Zanzibar imepiga marufuku wamasi kutembea na silaha za jadi mitaani kwa kile ilchosema kuwa ni kuhatarisha maisha ya watu na ni kinyume cha utamaduni visiwani humo.


Katazo hilo limekuja baada ya video iliyosambaa mtandaoni ikiwaonesha wananchi wa jamii ya Kimasai wakimshambulia mfanyakazi wa halmashauri kwa silaha za jadi walipokuwa wakiendesha operesheni ya kusimamia sheria ndogo ndogo zinazozuia kufanya biashara maeneo ya barabara ya Mji Mkongwe.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

CHONGOLO AWACHARUKIA RUWASA NA TANESCO KUTOSHIRIKI ZIARA YAKE