MSIMAMIZI WA VIKOSI MAALUMU VYA POLISI ATUA SONGWE


 Mkuu wa usimamizi Vikosi Maalum vya Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Ferdinand Mtui kutoka Kamisheni ya Operesheni na Mafunzo, Makao Makuu ya Polisi Dodoma leo Julai 06, 2024 amewasili Mkoa wa Songwe na kufanya kikao na Maafisa wa Polisi Songwe.


Naibu Kamishna Mtui yupo ziarani mikoa ya nyanda za juu kusini kuangalia na kukagua hali ya ulinzi na usalama wa bomba la mafuta la Tazama Pipeline katika mikoa iliyopitiwa na bomba hilo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14

BARAZA LA MADIWANI LAWAPONGEZA WALIMU UFAULU WA DARASA LA SABA