ILEJE IMETISHA UZINDUZI ROUTE MATCH

 


Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Happiness Seneda ameongoza uzinduzi wa Route match Mkoani Songwe uliofanyika Wilayani Ileje katika Viwanja vya Mwenge vilivyopo Isongole.


Katika uzinduzi huo ambao ulianzia na mbio fupi shule ya sekondari ya Ileje hadi Viwanja vya Mwenge katika uzinduzi huo mamia ya wakazi wa Ileje wamejitokeza kwa wingi huku kukiwa na kila aina ya mbwembwe toka kwa wakazi wa Ileje.









Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

WAFANYABIASHARA SONGWE WALALAMIKA FOLENI YA KUSIMAMISHIA MAGARI SENJELE NA NANYALA WILAYANI MBOZI

SONGWE JOGGING WARUDI NA MEDANI ZAIDI YA KUMI NA TANO TULIA MARATHON