SERIKALI KUMPA TUNZO MBUNGE NEEMA MANDABILA

 

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amempongeza Mbunge wa Viti maalumu Mkoa Songwe Mhe Neema Mwandabila kwa kujitolea kuwahudumia Wafungwa Magerezani kwa kuwagawia magodoro na mablanketi katika Magereza mbalimbali Mkoani Songwe.

"Sisi kama Serikali tumepanga kumpatia Tunzo Mheshimiwa Neema Mwandabila iwa kitendo chake cha kuwajali na kuwahudumia Wafungwa walioko Magerezani huu ni Moyo ya kipekee sana na wakishujaa"amesema Mgumba



Comments

Popular posts from this blog

UDUMAVU BADO TISHIO -DUGANGE

CONSTRUCTION OF THE ISONGOLE-ISOKO ASPHALT ROAD IS NOW OFFICIAL, CONTRACTOR INTRODUCED TO THE PUBLIC

MBUNGE MOMBA KUTOA SHILINGI MILIONI 28 UJENZI WA OFISI ZA CCM KATA 14